Kioromo-Kusini

Kioromo-Kusini (pia Kiborana) ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Ethiopia na Kenya inayozungumzwa na Waoromo na Waborana.

Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kioroma-Kusini nchini Ethiopia imehesabiwa kuwa watu 3,630,000. Pia kuna wasemaji 277,800 nchini Kenya (2009) na wasemaji 41,600 nchini Somalia (2000). Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kioromo-Kusini iko katika kundi la Kikushi.

Viungo vya nje

Kioromo-Kusini  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kioromo-Kusini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

EthiopiaKenyaLugha za Kiafrika-KiasiaSomaliaWaboranaWaoromo

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mkoa wa KilimanjaroMgawanyo wa AfrikaDivaiMkoa wa Dar es SalaamBenjamin MkapaSanaaUmoja wa KisovyetiUundaji wa manenoMohamed HusseiniMaktabaKataRiwayaKumamoto, KumamotoMkoa wa SingidaOrodha ya Marais wa NamibiaAina za manenoTungo sentensiMapambano ya uhuru TanganyikaHerufiHedhiUbongoWingu (mtandao)NathariUnyenyekevuKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniAfyaMarekaniTume ya Taifa ya UchaguziAl Ahly SCShangaziWitoBikiraMafurikoMazingiraMkoa wa SongweAzimio la ArushaLahaja za KiswahiliCristiano RonaldoIstilahiRedioHekaya za AbunuwasiOsama bin LadenWikipediaSokwe (Hominidae)Shinikizo la juu la damuUchumiWilaya za TanzaniaAnwaniMuungano wa Tanganyika na ZanzibarMkoa wa ManyaraPius MsekwaMandhariMahakamaOrodha ya viongoziAfrika ya Mashariki ya KijerumaniNafsiMjombaIfakaraShambaMajira ya mvuaKitenziRoho MtakatifuKhadija KopaMziziKitenzi kikuuTabianchi ya TanzaniaWilaya ya NyamaganaTundaDini asilia za KiafrikaNguruwe-kayaUpepoImaniWimbisauti🡆 More