Jimbo La Mataifa Ya Kusini, Ethiopia

Jimbo la Mataifa ya Kusini (kwa Kiamhari: ደቡብ ብሔሮች ብሔረሰቦችና ሕዝቦች, Ye-Debub Bəheročč Bəheresebočč-ənna Həzbočč; kwa Kiingereza Southern Nations, Nationalities, and Peoples’ Region, kifupi: SNNPR) ni moja kati ya majimbo 12 ya kujitawala ya Ethiopia.

Jimbo liko kusini mwa nchi, likipakana na Kenya upande wa kusini, Sudan Kusini upande wa magharibi na majimbo ya Ethiopia ya Gambela upande wa kaskazini na Oromia upande wa kaskazini, mashariki na kusini-mashariki.

Tofauti na majimbo mengine ya Ethiopia yenye kabila au kundi 1 hasa, hapa kuna vikundi vingi vidogovidogo kwa jumla 45. Wakazi wengi huishi mashambani ama vijijini au kama wahamiaji katika makambi yao ya kuhama.

Mji mkuu wa jimbo ni Awassa, lakini baada ya jimbo kumegwa, mji huo umekuwa wa jimbo la Sidama, hivyo unafikiriwa mwingine.

 
Majimbo ya Ethiopia
Bandera ya Ethiopia
Addis Abeba | Afar | Amhara | Benishangul-Gumuz | Dire Dawa | Gambela | Harar | Oromia | Sidama | Somali | Mataifa ya Kusini | Tigray

Tags:

KiamhariKifupiKiingerezaMajimbo ya Ethiopia

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

IfakaraMmomonyokoTungoVitendawiliPamboKoffi OlomideMswakiOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaSeduce MeUgonjwa wa kuharaWasukumaLigi ya Mabingwa AfrikaOrodha ya Watakatifu wa AfrikaJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaUfahamuPijiniMuundoNzigeUjasiriamaliKinyongaMkoa wa DodomaTamthiliaAbakuriaMsichanaAwilo LongombaBinadamuP. FunkStadi za maishaUwanja wa Taifa (Tanzania)MachweoReal MadridHistoria ya UislamuBinamuKaterina wa SienaVitenzi vishiriki vipungufuMwandishiKambaleWarakaMbuga wa safariHaitiTume ya Taifa ya UchaguziMbuga za Taifa la TanzaniaUbuntuAbrahamuMajira ya baridiFigoMaambukizi ya njia za mkojoShambaWanu Hafidh AmeirNileHistoria ya AfrikaWaluguruMasafa ya mawimbiNdiziKamusiJinsiaKaswendeRitifaaMauaji ya kimbari ya RwandaOrodha ya milima mirefu dunianiViwakilishi vya pekeeGabriel RuhumbikaArudhiKakakuonaMisemoMwanaumeVivumishi vya pekeeBungeKwararaMapafuWatutsiMaigizoMwenge wa Uhuru🡆 More