Ivan Botha ni muigizaji wa Afrika Kusini, anajulikana katika uhusika wake kama Pieter van Heerden mwenye muonekano wa kiafrika.
Ivan Botha | |
---|---|
Amezaliwa | Ivan Botha Desemba 13 1985 Afrika ya kusini |
Kazi yake | Muigizaji |
Alionekana kwa mara ya kwanza kwenye filamu ya kutisha ya The Raven,[onesha uthibitisho]ikiongozwa na David DeCoteau.Pia Ivan Botha aliendelea kuonekana kwenye mfululizo wa filamu ya Bakgat na kwenye maonyesho mbalimbali kwenye televisheni ya Getroud met rugby.
Mwaka | Jina | Uhusika |
---|---|---|
7de Laan | Pieter van Heerden | |
Getroud met Rugby | Himself |
Mwaka | Jina | Uhusika |
---|---|---|
2007 | The Raven | Greg |
2008 | Bakgat! | Wimpie Koekemoer |
2009 | Hond se Dinges | Dolf de Lange |
2009 | Bakgat! 2 | Wimpie Koekemoer |
2011 | Superhelde | Albert |
2011 | Roepman | Salmon |
2013 | Verraaiers | Adaan de la Rey |
2013 | Bakgat! tot die mag 3 | Wimpie Koekemoer |
2014 | Pad na Jou Hart | Basson Jr. |
2016 (Vir Altyd) Hugo
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ivan Botha kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Ivan Botha, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.