Internet Archive

Internet Archive ni shirika lisilotafuta faida linalojenga kumbukumbu ya kidijitali kwenye intaneti inayopatikana kwa kila mtu bila malipo.

Internet Archive
Makao makuu ya Internet Archive huko San Fransisco

Makao makuu ya shirika yapo San Francisco, Kalifornia (Marekani). Lilianzishwa mwaka 1996 na Brewster Kahle.

Internet Archive ilianzishwa 1996 kwa shabaha ya kutunza yaliyomo ya intaneti kwa kuhifadhi picha za tovuti nyingi. Kwa hiyo inawezekana kuangalia picha za tovuti ambazo zimeshabadilishwa tena mara kadhaa.

Tangu 1999 hifadhi nyingine zimeongezwa. Sasa kuna vitengo vya video, filamu, picha na vitabu.

Kitengo maalumu cha IA ni maktaba ya "Open Library". Vitabu visivyo tena na hakimiliki vinapigiwa picha kila ukurasa kwa njia ya scanner na kuwekwa kwenye intaneti katika fomati mbalimbali.

Internet Archive
Mashine ya scanner inayopiga picha za kurasa za vitabu


Marejeo

Viungo vya Nje

Internet Archive 
Wiki Commons ina media kuhusu:

Tags:

Intaneti

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

SakramentiHoma ya iniMkanda wa jeshiChakulaPaka-kayaSteven KanumbaAfrika KusiniNdege (mnyama)Mobutu Sese SekoFisiKenyaShinikizo la juu la damuNelson MandelaMfumo wa homoniMamba (mnyama)HalmashauriBabeliMariooUtamaduniFigoMfumo wa uendeshajiNgw'anamalundiMdalasiniOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaTasifidaUbuntuWanyamboZama za MaweMkunduOrodha ya Marais wa KenyaFalsafaInshaOrodha ya majimbo ya MarekaniUpendoBibliaUgonjwa wa kuharaRuge MutahabaWamasaiLatitudoWikipediaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLuhaga Joelson MpinaHadithiUandishiDaktariKamusiFasihi simuliziOrodha ya vitabu vya BibliaFutiUmojaKataNileOrodha ya Magavana wa TanganyikaUkimwiUharibifu wa mazingiraWanyakyusaDolar ya MarekaniOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaMapenzi ya jinsia mojaMaktabaShuleDini asilia za KiafrikaKinembe (anatomia)Uwanja wa Taifa (Tanzania)KubaWaluguruAzimio la ArushaFran BentleyHafidh AmeirWallah bin Wallah🡆 More