Hospitali Ya Bulongwa

Hospitali ya Kilutheri ya Bulongwa inapatikana mkoa wa Njombe na inamilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania ya Kusini Kati.

Hospitali hii ilifunguliwa mwaka 1968. Hospitali ya kilutheri ya Bulongwa ni hospitali ya rufaa yenye vitanda 120. Inapata misaada kutoka serikalini kupitia wizara ya afya kwa ajili ya wafanyakazi 27 na vitanda 90 tu. Hospitali hii inahudumia watu wapatao 60,000. Kuna wodi tano katika hospitali hii ya Bulongwa ambazo ni wodi ya wazazi, wodi ya wanawake, wodi ya wanaume, wodi ya watoto na wodi ya urekebishaji.

Marejeo

Tags:

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri TanzaniaMkoa wa Njombe

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mkoa wa MorogoroNambaBibliaLugha ya programuSaratani ya mlango wa kizaziHistoria ya IsraelWagogoKamusi elezoMkoa wa MwanzaAgano JipyaWhatsAppMazungumzoBaruaKanisa KatolikiDhambiMwaka wa KanisaPalestinaReal BetisSayansiManeno sabaArudhiOrodha ya watu maarufu wa TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Biblia ya KikristoZama za MaweMungu ibariki AfrikaMahakamaKiboko (mnyama)TenziNdegeWameru (Tanzania)Orodha ya maziwa ya TanzaniaMashuke (kundinyota)Jackie ChanMaadiliIndonesiaNevaFiston MayeleUgaidiKifua kikuuMajira ya mvuaBendera ya TanzaniaMajira ya baridiUfaransaVasco da GamaTunu PindaNamba ya mnyamaOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaNomino za wingiOrodha ya nchi za AfrikaTanganyika (ziwa)Usawa (hisabati)AustraliaMjombaTanganyikaMbooKitunguuYouTubeLucky DubeAzimio la kaziJakaya KikweteMoyoVitenzi vishirikishi vikamilifuDakuTarakilishiBiashara ya watumwaKombe la Dunia la FIFAOrodha ya Marais wa ZanzibarUnju bin UnuqUmoja wa AfrikaKipaimaraUkristo barani AfrikaMpwaMisemo🡆 More