Djigui Diarra

Djigui Diarra, (alizaliwa 27 Februari 1995) ni mchezaji wa kitaalamu wa mpira wa miguu wa Mali anayecheza nafasi ya mlinda mlango katika klabu ya Ligi Kuu Tanzania Bara ya Young Africans na timu ya taifa ya Mali.

Pia aliwakilisha nchi yake katika Kombe la Dunia la FIFA chini ya miaka 20 ya 2015, ambapo walifikia nafasi ya tatu.

Kazi

Diarra alijiunga na klabu ya Kitanzania ya Young Africans S.C. mwezi Agosti mwaka 2021.

Tanbihi

Djigui Diarra  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Djigui Diarra kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

199527 FebruariKombe la Dunia la FIFALigi Kuu Tanzania BaraMaliMlinda mlangoMpira wa miguuTimu ya taifaYoung Africans

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Sanaa za maoneshoMikoa ya TanzaniaManchester CityHistoria ya WapareNgano (hadithi)Mkoa wa RuvumaNembo ya TanzaniaMzabibuKipindupinduMnyamaMobutu Sese SekoUjerumaniKitenzi kikuu kisaidiziMajira ya mvuaOrodha ya Marais wa ZanzibarShahawaVita Kuu ya Kwanza ya DuniaMadawa ya kulevyaWilaya ya ArushaKiraiOrodha ya Marais wa UgandaTanganyika (ziwa)Nguruwe-kayaMwakaUislamuNgiriMimba za utotoniKisukuruLugha za KibantuSamakiUtumwaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaWameru (Tanzania)KiswahiliTetekuwangaUpinde wa mvuaMpira wa mkonoIsraeli ya KaleJay MelodyOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaWilaya ya IlalaNamba za simu TanzaniaVisakaleKichecheMtandao wa kijamiiUtandawaziMagonjwa ya kukuKinembe (anatomia)Pemba (kisiwa)KonsonantiUyahudiWaluguruMkoa wa Dar es SalaamNetiboliUmoja wa MataifaVivumishi vya kuoneshaUgandaEthiopiaZakaHistoria ya uandishi wa QuraniRupie ya Afrika ya Mashariki ya KijerumaniKongoshoIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)NafsiMkwawaIniTarbiaTanzaniaSaratani ya mlango wa kizaziDiamond PlatnumzRita wa CasciaUchumiHali ya hewa🡆 More