Bandar Seri Begawan

Bandar Seri Begawan ni mji mkuu wa Brunei kwenye kisiwa cha Borneo mwenye wakazi 46,229 (1991). Iko kwa 4°55'N na 114°55'E.

Jiji la Bandar Seri Begawan
Nchi Brunei
Bandar Seri Begawan
Msikiti ya Sultan Omar Ali Saifuddin

Tangu kupatikana kwa utajiri wa mafuta ya petroli mji umepambwa na majengo mazuri kama vile jumba la Sultani, msikiti ya Sultan Omar Ali Saifuddien. Makumbusho ya teknolojia ya Kimalay na makumbusho ya historia ya Brunei.

Kuna pia viwanda vya fenicha na vitambaa.

Bandar Seri Begawan Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bandar Seri Begawan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mr. BlueMkoa wa RuvumaGoba (Ubungo)Hifadhi ya mazingiraSimu za mikononiViwakilishiChristopher MtikilaUtalii nchini KenyaKondomu ya kikeKonyagiAdolf HitlerWameru (Tanzania)Orodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaVita Kuu ya Kwanza ya DuniaArsenal FCKanisaDaudi (Biblia)BaruaWahadzabeOrodha ya Marais wa UgandaGongolambotoFananiNdoaIniUchaguziUkwapi na utaoTungo kishaziSinagogiMaambukizi ya njia za mkojoLigi Kuu Uingereza (EPL)AlizetiMnururishoWaheheKamusi za KiswahiliMaishaSaidi NtibazonkizaMzabibuElimuFigoRejistaHomoniKamusiKichochoSerikaliMillard AyoMkanda wa jeshiAfrika ya Mashariki ya KijerumaniKichecheMbadili jinsiaMbeya (mji)Muungano wa Tanganyika na ZanzibarNgeliMagonjwa ya machoVita ya Maji MajiOrodha ya nchi za AfrikaPesaUkatiliMafurikoUfugajiPumuFutiWema SepetuTamthiliaMchwaBikiraJeshi la Ulinzi la Wananchi wa TanzaniaSanaaMkoa wa ManyaraMapenziDoto Mashaka BitekoTanganyika African National Union🡆 More