Alfonso Maria Fusco

Alfonso Maria Fusco (Angri, Salerno, 23 Machi 1839 – Angri, 6 Februari 1910) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki huko Italia Kusini.

Alishughulikia hasa wakulima, akaanzisha shirika la kitawa la Masista wa Mt. Yohane Mbatizaji kwa ajili ya malezi ya vijana hasa fukara na yatima.

Alitangazwa mwenye heri na Papa Yohane Paulo II tarehe 7 Oktoba 2001, halafu mtakatifu na Papa Fransisko tarehe 16 Oktoba 2016.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake.

Tazama pia

Tanbihi

Alfonso Maria Fusco  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.

Tags:

1839191023 Machi6 FebruariAngriItalia KusiniKanisa KatolikiPadriSalerno

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

AmfibiaMivighaWilaya ya TemekeOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaKongoshoSentensiMobutu Sese SekoWayahudiOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaZabibuWilaya ya IlalaNg'ombeDuniaHistoria ya UislamuUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaKilimoVitenzi vishirikishi vikamilifuPapa (samaki)KipazasautiOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaJuxUandishi wa inshaUchaguziKipindupinduKenyaMeliTarafaTashihisiFutiOrodha ya mito nchini TanzaniaBenderaMtume PetroVieleziMapenziJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaKhadija KopaKataNguzo tano za UislamuViwakilishiMpira wa miguuUchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2020Orodha ya milima mirefu dunianiOrodha ya Watakatifu WakristoOrodha ya Marais wa MarekaniMtandao wa kompyutaKiunguliaJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoUkatiliKaaLafudhiPasifikiNembo ya TanzaniaMbagalaTendo la ndoaBahari ya HindiMfumo wa JuaKimeng'enyaChama cha MapinduziNgeliSilabiNambaKiimboMtumbwiHistoria ya KanisaBloguMnara wa BabeliAla ya muzikiHerufiNandyGoba (Ubungo)Mimba za utotoni🡆 More