Agostina Pietrantoni

Agostina Pietrantoni (Pozzaglia Sabina, Italia, 27 Machi 1864 - Roma, Italia, 13 Novemba 1894) alikuwa mtawa wa Kanisa Katoliki katika shirika la Masista wa Upendo wa Kimungu.

Agostina Pietrantoni
Kaburi la Mt. Agostina

Alihudumia wagonjwa hadi alipouawa na mmojawao.

Anaheshimiwa kama mtakatifu bikira. Kwanza alitangazwa na Papa Paulo VI kuwa mwenye heri tarehe 12 Novemba 1972 halafu alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mtakatifu tarehe 18 Aprili 1999.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe ya kifo chake.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Agostina Pietrantoni  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.

Tags:

13 Novemba1864189427 MachiItaliaKanisa KatolikiMtawaRoma

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

KonsonantiJotoZiwa ViktoriaItaliaTashdidiFiston MayeleFaraja KottaMalawiBoris JohnsonKalenda ya KiyahudiUsawa (hisabati)Napoleon BonaparteHali maadaKisaweWaanglikanaMsalabaJuxAfyaJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaNchiNabii IsayaNgonjeraNjia ya MsalabaRayvannyWajitaUzazi wa mpangoVivumishi vya idadiPentekosteMlongeWahaMapambano kati ya Israeli na PalestinaMkoa wa MorogoroKiingerezaMkoa wa KageraMshororoOrodha ya MiakaAlhamisi kuuJulius NyerereMkoa wa KigomaKiswahiliIndonesiaMvuaUmaskiniMkoa wa KataviUnyanyasaji wa kijinsiaJogooSaharaAOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKylian MbappéKipaimaraTaasisi ya Taaluma za KiswahiliMwanza (mji)NdiziHistoria ya KiswahiliMkoa wa SingidaOrodha ya vitabu vya BibliaOrodha ya Marais wa UgandaAmri KumiMunguKahawiaSayansiLugha ya programuMkoa wa MaraOrodha ya maziwa ya TanzaniaAzimio la kaziKorea KaskaziniChelsea F.C.Orodha ya Makamu wa Rais TanzaniaTaswira katika fasihiMawasilianoNdoa🡆 More