Antoine McColister (anajulikana zaidi kama Ace Hood; alizaliwa Port St.
Lucie, Florida">Port St. Lucie, Florida, Mei 11, 1988) ni rapper wa Marekani.
Ace Hood alilelewa na mama yake na binamu Ty Barton Jr. huko Deerfield Beach. Alihitimu Shule ya Upili ya Deerfield Beach.
Hapo awali alikuwa amesainiwa na lebo ya DJ Khaled We the Best Music Group, Def Jam Recordings na Cash Money Record. Albamu yake ya kwanza kutoka ni Gutta-. Ametoa Albamu nne Blood,Sweat & Tears (2011) na Trials & Tribulations (2013). Anajulikana zaidi kwa nyimbo kali "Hustle Hard" na "Bugatti".
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ace Hood kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Ace Hood, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.