Tasnifu

Tasnifu (Kiingereza thesis, dissertation) ni maandiko ya kitaaluma yanayochanganua mada maalumu kwa ajili ya kupata shahada ya juu.

Hutolewa pale ambapo msomi analenga digrii ya kitaaluma akiwasilisha utafiti na matokeo yake.

Katika miktadha mingine, neno "tasnifu" hutumiwa pia kwa kazi kubwa ya kimaandishi iliyo sehemu ya shahada ya awali au ya uzamili, lakini kwa kawaida hutumiwa kwa uzamivu.

Ugumu au ubora wa utafiti unaohitajika kwa tasnifu inaweza kutofautiana na nchi, chuo kikuu, au somo.

Marejeo

Viungo vya nje

Tags:

KiingerezaMaandikoShahada

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Seduce MeMtakatifu PauloUenezi wa KiswahiliLuhaga Joelson MpinaMvuaMachweoKito (madini)Unyanyasaji wa kijinsiaUpinde wa mvuaNge (kundinyota)Lady Jay DeeMafuta ya petroliKakakuonaHistoria ya MsumbijiUtoaji mimbaJeshi la Ulinzi la Wananchi wa TanzaniaTambikoZiwa NatronAkiliMfumo wa homoniWagogoVivumishi vya sifaKaswendeMaumivu ya kiunoBonde la Ufa la Afrika ya MasharikiUvimbe wa koromeo usababishwao na streptokokiUbongoWilaya ya IlalaHoma ya mafuaUkabailaMgomba (mmea)Joyce Lazaro NdalichakoVirusi vya UKIMWIHuduma ya kwanzaNchiNelson MandelaKitenzi kikuuViwakilishi vya idadiOrodha ya Marais wa UgandaIsraelWasukumaMwanaumeLeonard MbotelaTanzania Breweries LimitedNomino za jumlaKiongoziOrodha ya vitabu vya BibliaSkeliHistoria ya IsraelUchawiChawaUhalifu wa kimtandaoVita ya Maji MajiHistoria ya AfrikaSikioUandishiShairiPembe za ndovuKaraniMlongeJanuary MakambaUandishi wa ripotiNguruwe-kayaKichochoClatous ChamaChama cha Kijamaa-Kidemokrasia cha UjerumaniPapa (samaki)Mtakatifu MarkoKambaleKoffi OlomideMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaRushwaKoma🡆 More