Phoebe Noxolo Abraham (alizaliwa oktoba mwaka 1960) Ni mwanasiasa wa Afrika Kusini ambae amekuwa ] wa baraza la Taifa la Afrika Kusini.
Ni mjumbe wa makongamano ya waafrika. Alishika nafasi ya 103 katika orodha ya vyama kwenye uchaguzi mkuu wa Afrika kusini mnamo mwaka 2019.
Ni Mjumbe wa kamati kuu ya fedha.
Alikuwa ni mwanachama wa jimbo la mashariki la [[Cape.]]
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Phoebe Noxolo Abraham, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.