Oktoba: Mwezi wa kumi katika mwaka

Mwezi wa Oktoba ni mwezi wa kumi katika Kalenda ya Gregori.

Sep - Oktoba - Nov
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Jina lake limetokana na neno la Kilatini octo, maana yake ni "nane", kwa vile katika kalenda ya kale ya Warumi, mwezi huo ulikuwa wa nane. Mwaka wa 153 KK lakini, mwanzo wa mwaka ulitanguliza miezi miwili kutoka Machi kwenda Januari, na maana ya jina lake Oktoba ilipotea.

Oktoba ina siku 31, na inaanza na siku ya juma sawa na mwezi wa Januari ila katika miaka mirefu yenye siku 366.

Oktoba: Mwezi wa kumi katika mwaka
Wiki Commons ina media kuhusu:
Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:

Tags:

153 KKJanuariKKKalenda ya GregoriKilatiniMachiWarumi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Majeshi ya Ulinzi ya KenyaMkoa wa LindiHoma ya matumboMadiniUkristo nchini TanzaniaBloguKamusi za KiswahiliVita vya KageraMfumo katika sokaWayback MachineJakaya KikweteMtume PetroTiktokKiumbehaiMwakaUgonjwa wa uti wa mgongoKitenziMatumizi ya LughaMkoa wa KageraOrodha ya Marais wa MarekaniNembo ya TanzaniaHistoria ya Kanisa KatolikiWanyakyusaSkeliVieleziNyukiDiamond PlatnumzNambaUtoaji mimbaMapinduzi ya ZanzibarSamakiKipindupinduVita Kuu ya Pili ya DuniaDhima ya fasihi katika maishaUsanifu wa ndaniUbongoMpira wa mkonoMkanda wa jeshiCleopa David MsuyaUtawala wa Kijiji - TanzaniaIfakaraMaghaniRupie ya Afrika ya Mashariki ya KijerumaniUvimbe wa sikioNahauUtandawaziMfuko wa Taifa wa Hifadhi ya JamiiHifadhi ya mazingiraKilimanjaro (volkeno)WasukumaFonolojiaKigoma-UjijiFalsafaPesaAunt EzekielKomaKonyagiLuhaga Joelson MpinaHisiaMzeituniSakramentiHedhiLafudhiMuhimbiliKiolwa cha anganiOrodha ya viongoziMaumivu ya kiunoFananiMasharikiDawatiNdoaWilaya ya TemekeSabatoKitenzi kishirikishi🡆 More