Mouhamadou Fall

Mouhamadou Fall (alizaliwa Beaumont-sur-Oise, 25 Februari 1992) ni mwanariadha kutoka Ufaransa aliyegobea kwenye mbio za mita 200.

Alimaliza wa tatu kwenye michuano ya 2019 ya European Team Championships na alishiriki kwenye 2019 World Championships bila kufika fainali. Alikuwa bingwa wa Ufaransa mwaka 2019.

Kwenye mbio za mita 4 * 100, alimaliza wa 4 kwenye michuano ya 2018 ya Ulaya na watano kwenye mbio za IAAF world relays za 2019.

Rekodi yake bora ni sekunde 10.12 kwenye mita 100 aliipata Julai 2019 kule Saint-Etienne; na sekunde 20.34 kwenye mita 200 aliyoipata Julai 2019.

Marejeo

Tags:

199225 FebruariMbioMwanariadhaUfaransa

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

TashtitiMalariaHaki za watotoKondoo (kundinyota)TundaUfaransaUaPasakaFasihi andishiNabii EliyaTungo sentensiUtoaji mimbaUbuyuIsraeli ya KaleUsiku wa PasakaMekatilili Wa MenzaWamandinkaAfande SeleBotswanaBenjamin MkapaMtiNandyKamusiMvuaOrodha ya programu za simu za WikipediaDakuSaidi NtibazonkizaKoffi OlomideBunge la TanzaniaKorea KusiniTupac ShakurMkoa wa Dar es SalaamVirusiOrodha ya viongoziVielezi vya mahaliMalawiHistoria ya Kanisa KatolikiAgano la KaleUtamaduniInjili ya MathayoNelson MandelaIniUzazi wa mpango kwa njia asiliaBikiraPasaka ya KiyahudiChatGPTZakaSaida KaroliBarabaraSemantikiMwanzoMtandao wa kompyutaSilabiHaikuHadithiKiboko (mnyama)Ngono zembeHekaya za AbunuwasiKidole cha kati cha kandoHistoria ya AfrikaOrodha ya Watakatifu wa AfrikaWazaramoOrodha ya milima mirefu dunianiWikipediaMapigo yasiyo ya kawaida ya moyoOrodha ya shule nchini TanzaniaVichekeshoMkoa wa TangaUmoja wa AfrikaPijini na krioliFiston MayeleUingerezaReal Betis🡆 More