Mnyoo-Bapa

Ngeli 2 na nusungeli 2

Mnyoo-bapa
Mnyoo-bapa wa maji baridi (Planaria torva)
Mnyoo-bapa wa maji baridi (Planaria torva)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia
Nusuhimaya: Eumetazoa
(bila tabaka): Bilateria
(bila tabaka): Prostomia
Faila ya juu: Platyzoa
Faila: Platyhelminthes
Claus, 1887
Ngazi za chini

  • Catenulida
  • Rhabditophora
    • Macrostomorpha
    • Trepaxonemata

Minyoo-bapa ni wanyama wanaofanana na minyoo, lakini wao hawana uwazi wa mwili (coelom). Kwa hivyo hawana ogani za mfumo wa mzunguko wa damu au za mfumo wa upumuaji na lazima mwili uwe bapa ili oksijeni iweze kuingia kwa mtawanyiko. Mwili wao una uwazi umoja, ule wa mmeng'enyo, lakini uwazi huu una kipenyo kimoja tu pamoja kwa umezaji na kwa utoaji.

Kuna minyoo-bapa ambao huishi kwa maji au kwa udongo. Kwa kawaida hawa hula wanyama wadogo lakini pia wanyama wakubwa kuliko wao wenyewe, kama konokono. Zaidi ya nusu ya spishi zote za minyoo-bapa ni vidusia, k.m. mategu. Hawa hufyonda virutubishi vilivyoyeyuka katika giligili za mwili wa mwenyeji.

Picha

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Historia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoNyegeSimba (kundinyota)SwalaKiswahiliMalengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifaFasihiKenyaKiumbehaiMadiniHadithiHuduma ya kwanzaKilimoIdi AminWapareMahindiSadakaUchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2020AfrikaMwana FAUshairiMaadiliTarbiaUandishiMilaMungu ibariki AfrikaHaitiKiimboNgeliMafumbo (semi)Saratani ya mlango wa kizaziJichoNyati wa AfrikaEdward SokoineBendera ya TanzaniaIkwetaKondomu ya kikeFasihi simuliziAsidiMaudhuiHektariOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaKukiGongolambotoVirusi vya UKIMWIJamiiMkoa wa TangaUDARoho MtakatifuFalsafaMkoa wa ArushaUandishi wa barua ya simuPijiniBarua pepeMkopo (fedha)Muungano wa Tanganyika na ZanzibarNevaPemba (kisiwa)Moses KulolaSayariHaki za watotoHisiaUzazi wa mpangoAfrika Mashariki 1800-1845Kanda Bongo ManHussein Ali MwinyiNgw'anamalundiElimuMapambano kati ya Israeli na PalestinaVivumishi vya urejeshiUmememajiDuniaTafakuri🡆 More