Mchele

Mchele ni punje za mpunga zilizokobolewa baada ya mavuno na kabla ya kupika.

Mchele
Mchele aina ya basmati
Mchele
Mpunga baada ya mavuno
Mchele
Wali kwa kuku mwenye sahani

Kama hazijakobolewa na ziko bado katika ganda ni mpunga. Kama zimepikwa huitwa wali.

Watu wengi hununua mchele dukani. Ni punje kavu kabisa zinazokaa muda mrefu hata mwaka bila kuharibika kama hakuna unyevu wala wadudu.

Penye kilimo cha mpunga watu wananunua pia magunia wakikoboa kiasi kile wanachohitaji kwa kipindi.

Mpunga una faida hauathiriki sana na wadudu, lakini mchele uko hatarini kuliwa.

Mchele uliovunjika huuzwa bei nafuu.

Tags:

MavunoMpungaPunje

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

KanzuUislamuUnyanyasaji wa kijinsiaWairaqwSikukuuBabeliAunt EzekielWanyakyusaBikira MariaSteve MweusiChuo Kikuu cha Dar es SalaamRaiaMekatilili Wa MenzaNabii EliyaFasihi simuliziMivighaMwanzoYoweri Kaguta MuseveniKoffi OlomideOrodha ya miji ya MarekaniBarua rasmiVihisishiOrodha ya vitabu vya BibliaHistoria ya TanzaniaUmoja wa AfrikaJogooAngkor WatMizimuTabainiOsama bin LadenMisimu (lugha)Roho MtakatifuUtapiamloDhambiMfumo wa mzunguko wa damuNelson MandelaWalawi (Biblia)Historia ya UislamuOrodha ya Marais wa MarekaniUrusiAndalio la somoAlfabetiMkoa wa Unguja Mjini MagharibiWayahudiSaddam HusseinMwanaumeMsukuleAngahewaMofolojiaSemiKendrick LamarPonografiaNdege (mnyama)MaghaniKanisa la Kiinjili la Kilutheri TanzaniaWaluguruMeena AllyRamaniLigi ya Mabingwa AfrikaMichezo ya watotoMadhara ya kuvuta sigaraMkoa wa RukwaDizasta VinaKishazi tegemeziKitubioVita vya KageraKonsonantiKitenziWagogoJumaMuhammadNgiriKitabu cha ZaburiWikipediaZabibuJotoKigoma-Ujiji🡆 More