Marselino Na Petro

Marselino na Petro ni Wakristo wa karne ya 3 waliouawa mwaka 304 kwa ajili ya imani yao mjini Roma.

Marselino Na Petro
Sanamu ya Mt. Marselino huko Seligenstadt.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 2 Juni.

Maisha

Kuhusu maisha yao, hatuna habari nyingi za hakika. Marselino alikuwa padri, na Petro mzinguaji. Wote wawili waliuawa kwa kukatwa kichwa katika dhuluma ya Kaisari Diokletian dhidi ya Wakristo wa Dola la Roma.

Simulizi la kifodini chao la Papa Damas I ndilo chanzo cha kale zaidi juu yao. Damas alieleza kwamba alipata habari kutoka kwa muuaji wao ambaye baadaye alijiunga na Kanisa

Kwake tumepata kujua kwamba walipopelekwa kwenye vichaka vya miiba ili kuuawa, walilazimishwa kujichimbia makaburi yao, ili maiti wasionekane na yeyote, lakini Lusila alifaulu kuwazika kwa heshima mjini kwenye barabara inayoitwa Labicana, ambapo baadaye lilijengwa basilika maarufu.

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Viungo vya nje

Marselino Na Petro 
Wiki Commons ina media kuhusu:
Marselino Na Petro  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.

Tags:

Marselino Na Petro MaishaMarselino Na Petro Tazama piaMarselino Na Petro TanbihiMarselino Na Petro VyanzoMarselino Na Petro Viungo vya njeMarselino Na Petro304ImaniKarne ya 3MjiMwakaRomaWakristo

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

KunguniMkopo (fedha)Diamond PlatnumzAJamhuri ya Watu wa ChinaWajitaAbd el KaderFigoNembo ya TanzaniaLugha ya kigeniLisheVita Kuu ya Pili ya DuniaUtendi wa Fumo LiyongoJumaShetaniKNguzo tano za UislamuOrodha ya miji ya TanzaniaTahajiaLafudhiChakulaRashidi KawawaJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoHifadhi ya mazingiraKiunguliaMuungano wa Tanganyika na ZanzibarHistoria ya UislamuKinuKiwakilishi nafsiKina (fasihi)MachweoUenezi wa KiswahiliNyanja za lughaRamadan (mwezi)Vivumishi vya kuoneshaMfumo wa upumuajiUtumwaTashihisiMusuliViwanja vya Afrika (Kwa Ukubwa)NidhamuHistoria ya Kanisa KatolikiMofolojiaMzeituniRohoTowashiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoJumapili ya matawiDemokrasiaKifo cha YesuMfumo katika sokaAla ya muzikiLugha za KibantuDar es SalaamMwanga wa juaKalenda ya KiislamuUshairiHali maadaMfumo wa lughaRaila OdingaMaadiliSwalahKatekisimu ya Kanisa KatolikiPundaHistoria ya KiswahiliMkoa wa ArushaEdward SokoineUfugaji wa kukuSumakuWembeWagogoMamaViwakilishi vya pekeeTarakilishiWasukuma🡆 More