Mainz (Kilatini: Mogontiacum) ni mji mkuu wa Rhine-Palatino nchini Ujerumani.
Iko kando ya mto Rhine. Idadi ya wakazi wake ni takriban 200.957.
Jiji la Mainz | |||
| |||
Mahali pa mji wa Mainz katika Ujerumani | |||
Majiranukta: 50°0′0″N 8°16′0″E / 50.00000°N 8.26667°E | |||
Nchi | Ujerumani | ||
---|---|---|---|
Majimbo | Rhine-Palatino | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 200.957 | ||
Tovuti: www.mainz.de |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mainz kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Mainz, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.