Kizima moto ni chombo kinachotoa kiowevu, gesi au dawa la unga vinavyozuia mwako na kuzima moto.
Giligili ndani yake huntunzwa kwa shindikizo inatoka kwa mbio kama vali yake inafunguliwa.
Madawa ndani ya kizimamoto hutofautiana kulingana na aina ya moto inayotakiwa kuzimwa.
Siku hizi kuna aina nyingi za moto hasa viwandani au gatika ghala penye kemikali mbalimbali. Walinzi wa moto huwa na vifaa vya pekee kwa aina hizi za moto.
Katika ghala au penye mashine kuna pia mitambo ya kuzima moto yasiyobebwa lakini yametengenezwa mahali penye hatari yakiwaka otomatia kwa kutumia vifaa vya kupima joto, gesi n.k.
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Kizima moto, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.