Kinyamadege

Kinyamadege au domobata ni mamalia wa Australia aliye na mdomo wa bata, miguu yenye utando kati vidole kama ile ya fisi-maji na mkia kama biva.

Kinyamadege
Kinyamadege
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Monotremata (Mamalia wanaotaga mayai kupitia tundu pekee nyuma (kloaka))
Nusuoda: Platypoda {Wanyama kama kinyamadege)
Familia: Ornithorhynchidae (Wanyama walio na mnasaba na kinyamadege)
Jenasi: Ornithorhynchus
Blumenbach, 1800
Spishi: O. anatinus
(Shaw, 1799)

Ni moja ya spishi tano za mamalia wanaotaga mayai, lakini ananyonyesha watoto wake kama mamalia wote wengine.

Kinyamadege Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kinyamadege kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

AustraliaBataBivaFisi-majiMamaliaMtotoYai

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Rufiji (mto)Orodha ya vitabu vya BibliaUkristo barani AfrikaMasharikiOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaZabibuHurafaMkoa wa SimiyuPesaNileHekalu la YerusalemuUmoja wa MataifaBabeliMaudhui katika kazi ya kifasihiMfumo wa upumuajiMaajabu ya duniaUvimbe wa koromeo usababishwao na streptokokiHistoria ya AfrikaMasafa ya mawimbiUchawiDoto Mashaka BitekoKisaweKanye WestVasco da GamaMichezoPaul MakondaMbezi (Ubungo)Orodha ya milima ya AfrikaKifua kikuuHistoria ya WasanguJamiiNomino za wingiVirusi vya UKIMWIMkoa wa MaraUhifadhi wa fasihi simuliziMatumizi ya LughaJohn MagufuliKichochoMkoa wa DodomaZuchuMbeyaAustraliaHistoria ya IranDubaiUkwapi na utaoChristina ShushoBidiiMnyamaMkoa wa KilimanjaroTafakuriNafsiEdward SokoineWilaya za TanzaniaP. FunkAli KibaDiglosiaHistoria ya TanzaniaHekaya za AbunuwasiOrodha ya Watakatifu WakristoKipazasautiUandishi wa barua ya simuKiunguliaVitamini CKilimoSimba (kundinyota)ElimuMkunduNg'ombe (kundinyota)Jumuiya ya Afrika MasharikiBunge la TanzaniaWilaya ya UbungoOrodha ya mito nchini TanzaniaGeorDavieMoses KulolaStashahada🡆 More