Historia ya Malaysia inahusu eneo ambalo leo linaunda shirikisho la Malaysia.
Nchi ilianzishwa mwaka 1963 wakati Shirikisho la Kimalay (kwa Kimalay: Persekutuan Tanah Melayu) liliungana na Singapur, Sabah na Sarawak ambazo awali zilikuwa chini ya Uingereza.
Hata hivyo Singapur iliondoka mwaka 1965 ikawa nchi ya pekee.
Kipindi ambacho Mahathir Mohamad alikuwa madarakani (1981-2003) kilikuwa kipindi cha maendeleo ya haraka ya kiuchumi nchini Malaysia. Nchi iliendeleza majengo makubwa ikiwa ni pamoja na minara ya Petronas Twin Towers.
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Historia ya Malaysia kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Historia ya Malaysia, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.