Kimalay

Kimalay ni lugha ya Kiaustronesia nchini Malaysia, Brunei, Singapuri na Indonesia inayozungumzwa na Wamalay.

Ni lugha ya mawasiliano kwa wengi, hata nchini Ufilipino, Timor Mashariki na Uthai, tofauti na Kimalay Sanifu ambayo ni lugha rasmi nchini Malaysia.

Kimalay
Eneo la Kimalay

Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kimalay kama lugha mama ilihesabiwa kuwa watu milioni 77, lakini wasemaji wote wanaweza kufikia milioni 200-290.

Kufuatana na uainishaji wa lugha wa ndani zaidi, Kimalay iko katika kundi la Kimalayiki.

Viungo vya nje

Kimalay  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimalay kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

BruneiIndonesiaKimalay SanifuLugha rasmiLugha za KiaustronesiaMalaysiaSingapuriTimor MasharikiUfilipinoUthai

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Israeli ya KalePamboElibariki Emmanuel KinguItikadi kaliAfyaUtafitiBabeliMaudhuiKiswahiliSilabiMalengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifaMimba za utotoniJohn Samwel MalecelaVidonge vya majiraBiashara ya watumwaKipepeoSaidi NtibazonkizaReal MadridMfumo wa mzunguko wa damuBarua rasmiKisimaMaumivu ya kiunoAli Hassan MwinyiWiki FoundationUaUyahudiNikki wa PiliBilioniMfumo wa nevaUenezi wa KiswahiliViganoJohn MagufuliViwakilishi vya kuoneshaMkanda wa jeshiSahara ya MagharibiKitenzi kishirikishiVielezi vya idadiTamathali za semiMwanga wa JuaMadhehebuWizara za Serikali ya TanzaniaUfahamuRoho MtakatifuHuzuniMkoa wa ManyaraUkooLongitudoUjuziMfumo wa upumuajiMuhammadNyaniTetemeko la ardhiHekimaKunguniPaul MakondaMkoa wa MaraUmoja wa KisovyetiHifadhi ya Mlima KilimanjaroVieleziWahayaBikira MariaUkabailaNomino za dhahaniaShinikizo la juu la damuShairiKukuRose MhandoMoyoJamhuri ya Watu wa ZanzibarAsiliNigeriaMshororoHadhiraFisiMiundombinu ya kijani katika nchi ya Kenya, mji wa Nairobi🡆 More