Fani

Kwa matumizi tofauti ya neno hili angalia makala Fani (fasihi)

Fani (kutoka ar. فنع "bora") ni uwanja maalumu wa elimu, maarifa au kazi. Kutaja kazi fulani kuwa "fani" kunahitaji kiwango fulani wa ubora au taaluma.

Mifano ya fani katika ufundi ni pamoja na useremala, ujenzi, uhunzi, upishi au uchoraji.

Mifano ya fani katika sayansi au elimu ya juu ni pamoja na

  • sayansi asilia kama vile fizikia, kemia, astronomia, biolojia, tiba
  • sayansi jamii kama vile historia, ualimu, falsafa, isimu, fasihi, sosholojia

Tags:

Fani (fasihi)

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

TundaWachaggaAngkor WatUshairiNileUundaji wa manenoZuchuChakulaDawa za mfadhaikoKanisa KatolikiMbeguMwanaumeTabainiNamba tasaMajira ya baridiNabii IsayaAsili ya KiswahiliNyokaMsamiatiAlfabetiBungeMuungano wa Tanganyika na ZanzibarLugha ya taifaNevaChadChuraMawasilianoTelevisheniKanisa la Kiinjili la Kilutheri TanzaniaUmoja wa AfrikaAfrika ya Mashariki ya KijerumaniFonolojiaMohamed HusseinUenezi wa KiswahiliNetiboliUshogaOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaRamaniKifo cha YesuZana za kilimoMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaJokate MwegeloKiboko (mnyama)Ugonjwa wa kupoozaWayahudiLigi ya Mabingwa AfrikaMkoa wa KageraSeli nyeupe za damuDini nchini TanzaniaMitume na Manabii katika UislamuHistoria ya IsraelSkeliNchiFani (fasihi)KilimoMsumbijiOrodha ya Marais wa BurundiWanyama wa nyumbaniAOrodha ya majimbo ya MarekaniSanaaViwakilishi vya urejeshiMwaka wa KanisaWalawi (Biblia)Soko la watumwaCristiano RonaldoLahaja za KiswahiliPasakaWaluguruJuma kuuInsha ya wasifuMapigo yasiyo ya kawaida ya moyoReal Betis🡆 More