Eutikyo (alifariki 356) alikuwa shemasi mdogo wa Aleksandria (Misri) aliyeteswa wakati wa Kwaresima kwa sababu ya kushika imani sahihi dhidi ya Uario.
Hivyo, walipompeleka kufanya kazi migodini, alifariki njiani.
Patriarki Athanasius amesimulia mateso yake na ya wengine wengi katika mwaka huo yaliyohimizwa na Joji, askofu mpinzani wake.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Eutikyo shemasi mdogo, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.