Eric Abidal: Mchezaji mpira wa Ufaransa

Eric Abidal (alizaliwa 11 Septemba 1979) ni mchezaji wa zamani wa mpira wa miguu wa timu ya taifa ya Ufaransa na timu za klabu za Lile, Monaco na Barcelona F.C.

Eric Abidal: Mchezaji mpira wa Ufaransa
Eric Abidal akiwa Barcelona

Abidal alisajiliwa na klabu ya Barcelona ya nchini Hispania mwaka 2007 kutoka klabu ya Lyon ya nchini Ufaransa.Alipokuwa Barcelona alifanikiwa kubeba taji la UEFA la mwaka 2010 walipocheza fainali dhidi ya klabu ya Manchestar United lakini kwenye mechi hiyo hakufanikiwa kucheza baada ya kupata kadi nyekundu kwenye mechi ya nusu fainali.Kwa sasa Abidal ni mkurugenzi katika timu ya klabu ya Barcelona.

Eric Abidal: Mchezaji mpira wa Ufaransa Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Eric Abidal kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

11 Septemba1979Barcelona F.C.BekiKlabuMchezajiMonacoMpira wa miguuTimu ya taifaUfaransa

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Bendera ya TanzaniaKataVipera vya semiDumaJuxSalamu MariaMkoa wa IringaVielezi vya idadiKiarabuFasihiKiungo (michezo)NyegereSayansiChelsea F.C.Steven KanumbaKrismaMacky SallTaswira katika fasihiKihusishiMkoa wa MtwaraVidonge vya majiraMkungaJinaKiini cha atomuMamaAgano la KaleFutiUenezi wa KiswahiliKisimaMakabila ya IsraeliInshaNimoniaKilimoPasaka ya KiyahudiJogooVirusiBenderaUvimbe wa koromeo usababishwao na streptokokiWamasoniAina za manenoInsha ya wasifuMatamshiJohn Raphael BoccoChatGPTKipaimaraOrodha ya MiakaAlasiriMwanaumeMichael JacksonWahaVidonda vya tumboMkoa wa NjombeTarehe za maisha ya YesuSerikaliTeknolojia ya habariNenoUchekiTungo sentensiZabibuNdegeChris Brown (mwimbaji)HarusiMandhariBaraza la mawaziri TanzaniaVivumishi vya idadiKisasiliKendrick LamarUtamaduni wa KitanzaniaAfrika ya MasharikiAlama ya uakifishajiOrodha ya milima mirefu dunianiVielezi vya mahaliLugha ya programu🡆 More