Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki ni chuo kikuu binafsi kilichopo katika jiji la Dar es Salaam, Tanzania.
Kinatambuliwa nchini Tanzania na kimethibitishwa na tume ya vyuo vikuu nchini Tanzania. Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki kilianzishwa mwaka 1997, na kilikuwa chuo cha mwanzo binafsi kupatiwa uthibitisho mwezi Juni mwaka 2000.
Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki kinatoa shahada, stashahada na astahashada katika fani zifuatazo:
Kigezo:Vyuo vikuu vya Tanzania
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.