Bursa (kihistoria pia una julikana kama Prussa, Kigiriki: Προύσα, halafu baadaye waliita Brusa) ni mji ulioko mjini kaskazini-magharibi mwa nchi ya Uturuki na ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Bursa.
Mji una wakazi wapatao 1,562,828 (2007). Huu ni mji wa nne kwa ukubwa katika Uturuki, ukiwa pamoja na kuwa kama ndiyo mji wenye ukuwaji mkubwa wa viwanda na kilimo katika nchi.
Mji wa Bursa upo mjini kaskazini-magharibi katika mapolomoko ya Mlima Uludağ Kusini mwa Mkoa wa Marmara. Mji umepakana kabisa na Bahari ya Marmara na Yalova katika kaskazini, Kocaeli na Sakarya katika kaskazini-mashariki, Bilecik katika mashariki na Kütahya na Balıkesir ipo kunako kusini.
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bursa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Bursa, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.