Burl Ives (Juni 14, 1909 - Aprili 14, 1995) alikuwa mwanamuziki, mwigizaji, na mwandishi wa Marekani ambaye kazi yake ilichukua zaidi ya miongo sita.
Ives alianza kazi yake kama mwimbaji msafiri na mpiga gitaa, hatimaye akazindua kipindi chake cha redio, (The Wayfaring Stranger) kipindi hicho kilieneza nyimbo za kitamaduni Mnamo 1942, Mnamo miaka ya 1960 alifanikiwa kurekodi miziki kama "A Little Bitty Tear" na "Funny Way of Laughin".Ives pia alikuwa mwigizaji maarufu wa filamu hadi mwishoni mwa miaka ya 1940 na ya 1950.
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Burl Ives kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Burl Ives, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.