Alberta ni jimbo la Kanada upande wa magharibi ya nchi. Imekuwa jimbo la Kanada tangu 1905.
Alberta | |||
| |||
Nchi | Kanada | ||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Calgary | ||
Eneo | |||
- Jumla | 661,848 km² | ||
Tovuti: http://www.alberta.ca/ |
Ina eneo la km² 661,848. Imepakana na Northwest Territories, Saskatchewan, Marekani (Montana) na British Kolumbia.
Kunako mwaka wa 2009, idadi ya wakazi ilikuwa 3,632,483.
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Alberta kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Alberta, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.