Virgin Records ni studio ya kurekodia muziki kutoka Uingereza.
Studio ilianzishwa na makabaila wa Kiingereza, Richard Branson, Simon Draper, na Nik Powell kunako mwaka wa 1972. Studio baadaye iliuzwa kwa kampuni ya Thorn EMI, na kisha baadaye, wakiwa Marekani, iliungana na studio ya Capitol Records kunako mwaka wa 2006 kwa lengo la kuanzisha studio ya Capitol Music Group.
Virgin Records | |
---|---|
Virginlogo.jpg | |
Shina la studio | EMI |
Imeanzishwa | 1972 |
Mwanzilishi | Richard Branson |
Usambazaji wa studio | Capitol Music Group (katika Marekani) EMI Music Distribution |
Aina za muziki | Mbalimbali |
Nchi | Uingereza |
Tovuti | Tovuti Rasmi ya Virgin Records |
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Virgin Records kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Virgin Records, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.