Thimphu (ཐིམ་ཕུ་ ; pia Thimbu) ni mji mkuu wa Bhutan.
Ni pia jina la bonde penye mji na la mkoa wa nchi.
Mji na mazingira yake una wakazi 50,000 ni mji mkubwa nchini. Anwani ya kijiografia ni 27°28′00″N, 89°38′30″E. Thimphu iko katika magharibi ya nchi ndogo kando la mto Wang Chu kwenye kimo cha 2,736 m.
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Thimphu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Thimphu, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.