Mkutano Wa Kimataifa Juu Ya Haki Za Binadamu

Mkutano wa Kimataifa juu ya Haki za Binadamu ulifanywa na Umoja wa Mataifa mjini Vienna nchini Austria tarehe 14 mpaka 25 Juni 1993.

Ulikuwa mkutano wa kwanza wa haki za binadamu uliyofanyika tangu kumalizika kwa vita baridi vya Dunia.

Matokeo ya mkutano huo yalikuwa Azimio la Vienna na Mpango wa Utendaji.

Historia

Ingawa Umoja wa Mataifa ulikuwa umeshughulika kwa muda mrefu katika uwanja wa haki za binadamu, mkutano wa Vienna ulikuwa mkutano wa pili wa kuzingatia haki za kibinadamu, na wa kwanza ulikuwa Mkutano wa Kimataifa wa Haki za Binadamu uliofanyika Teheran, Iran , wakati wa Aprili-Mei 1968 kuashiria kumbukumbu ya miaka ishirini ya Azimio la ulimwengu la Haki za Binadamu. .

Marejeo

Viungo vya nje

Tags:

14 Juni199325 JuniAustriaDuniaTareheUmoja wa MataifaViennaVita baridi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Uhakiki wa fasihi simuliziKamusi ya Kiswahili - KiingerezaWagogoWellu SengoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUrusiKumamoto, KumamotoKiumbehaiUgonjwa wa kuharaMeliOrodha ya vitabu vya BibliaMkoa wa RukwaOrodha ya viongoziTaswira katika fasihiNgw'anamalundi (Mwanamalundi)Orodha ya Marais wa MarekaniSimon MsuvaMishipa ya damuDayolojiaNembo ya TanzaniaHistoria ya KiswahiliMajeshi ya Ulinzi ya KenyaUjerumaniShairiAli Hassan MwinyiMziziUaHistoria ya AfrikaRoho MtakatifuHisiaAzimio la ArushaAmaniKunguruWanyamboBiblia ya KikristoBibliaShabaniMaana ya maishaKadi za mialikoZambiaOrodha ya volkeno nchini TanzaniaMisriPumuUvimbe wa koromeo usababishwao na streptokokiInternet Movie DatabaseHomoniMaradhi ya zinaaGJakaya KikweteNomino za pekeeAbrahamuLuis MiquissoneMfumo wa upumuajiLibidoUtafitiWahayaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaKiimboAgano JipyaNikki wa PiliDiniNdegeOrodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watuMuziki wa dansi wa kielektronikiFonimuWanyamweziHeshimaFigoFMHewaNimoniaNadhariaMtandao wa kijamiiTausiInsha🡆 More