Mama Wa Kanisa

Mama wa Kanisa (kwa Kilatini: Mater Ecclesiae) ni jina la heshima ambalo Bikira Maria amepewa rasmi na Papa Paulo VI tarehe 21 Novemba 1964 wakati wa Mtaguso wa pili wa Vatikano.

Jina hilo lilitumiwa kwanza na Ambrosi wa Milano katika karne ya 4 halafu na Papa Benedikto XIV mwaka 1748, tena na Papa Leo XIII mwaka 1885.

Mama Wa Kanisa
Mozaiki Mater Ecclesiae katika uwanja wa Basilika la Mt. Petro.

Limeingizwa na Papa Yohane Paulo II katika Katekisimu ya Kanisa Katoliki, hatimaye na Papa Fransisko katika kalenda ya liturujia ya Kanisa la Kilatini siku inayofuata Pentekoste.

Kabla ya hayo yote, sanaa ya Kikristo ilikuwa imezoea kumchora Bikira Maria kati ya Mitume wakati wa kushukiwa na Roho Mtakatifu siku ya Pentekoste kama ilivyosimuliwa na Mwinjili Luka (Mdo 1-2).

Tanbihi

Viungo vya nje

Mama Wa Kanisa 
Wiki Commons ina media kuhusu:

Tags:

17481885196421 NovembaAmbrosi wa MilanoBikira MariaHeshimaJinaKarne ya 4KilatiniMtaguso wa pili wa VatikanoMwakaPapa Benedikto XIVPapa Leo XIIIPapa Paulo VITarehe

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Injili ya YohaneRisalaSilabiNgome ya YesuErling Braut HålandTarakilishiHedhiChris Brown (mwimbaji)Diego GraneseMlo kamiliMkoa wa KigomaOrodha ya Marais wa TanzaniaAthari za muda mrefu za pombeCristiano RonaldoNomino za pekeeMachweoBendera ya TanzaniaNadhariaKina (fasihi)MjiMtakatifu PauloOrodha ya watu maarufu wa TanzaniaParisMwislamuShomari KapombeOrodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watuVincent KigosiMkoa wa GeitaUhakiki wa fasihi simuliziVisakaleNahauSteven KanumbaDubai (mji)MusaKwaresimaUnyenyekevuTabianchiVivumishi vya pekeeJiniUlayaOrodha ya makabila ya TanzaniaUtegemezi wa dawa za kulevyaUhifadhi wa fasihi simuliziMimba kuharibikaMofimuZambiaKibodiJamiiMivighaShairiZuhuraMadhehebuIniOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaMkoa wa KataviSaratani ya mlango wa kizaziTimu ya Taifa ya Kandanda ya KenyaMobutu Sese SekoSemiMatiniShinikizo la ndani ya fuvuWachaggaSakramentiVatikaniInjili ya LukaMkoa wa ArushaUfahamuOrodha ya nchi kufuatana na wakaziSomo la UchumiOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaNguvuSiafuKiarabuMfumo wa homoniBilioniShabani🡆 More