Mv Bukoba

MV Bukoba ilikuwa feri iliyokuwa ikitoa huduma ya kubeba mizigo na abiria katika Ziwa Viktoria kati ya bandari za Bukoba na Mwanza.

Faili:MV Bukoba Memorial.jpg
Makumbusho kwa wahanga wa ajali ya MV Bukoba mjini Mwanza

Tarehe 21 Mei 1996 ilizama kwenye njia ya kuelekea Mwanza. Abiria wengi walikufa na idadi yao imekadiriwa kuwa 1,000 hivi, lakini idadi iliyotangazwa rasmi ilikuwa 894.

Marejeo

Tags:

AbiriaBandariBukobaFeriHudumaMwanzaZiwa Viktoria

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Njia ya MsalabaShirika la Utangazaji TanzaniaAsiaDamuKibodiMfumo wa JuaDizasta VinaChawaYuda IskariotiJuxKataNamba tasaOsama bin LadenMotoHekaya za AbunuwasiMaajabu ya duniaUandishi wa inshaTanzaniaLionel MessiOrodha ya MiakaMwanamkeMkwawaHistoria ya AfrikaMtakatifu PauloDiamond PlatnumzMapambano kati ya Israeli na PalestinaBikira MariaWahaFasihi andishiWamandinkaSamia Suluhu HassanNgeli za nominoAngahewaWazaramoJustin BieberKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniMitume na Manabii katika UislamuMfumo katika sokaLuis MiquissoneSakramentiKisononoTanganyika (ziwa)Maneno sabaTamthiliaHedhiUpinde wa mvuaFananiSilabiBrazilMkutano wa Berlin wa 1885Wilaya za TanzaniaTreniOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaBukayo SakaFid QVita ya Maji MajiAlama ya uakifishajiJinsiaKilwa KivinjeKifo cha YesuKipaimaraOrodha ya Marais wa MarekaniHistoria ya WapareLahajaViwakilishi vya pekeeMsitu wa AmazonUfufuko wa YesuWayao (Tanzania)WikipediaNyokaIntanetiJoseph Leonard Haule🡆 More