Jennifer Doudna

Jennifer Anne Doudna (amezaliwa Februari 19, 1964) ni mkemia wa Marekani ambaye amefanya kazi za mwanzo katika kugundua teknolojia ya uhariri jeni kwa kutumia Njia ya ''CRISPR'' pamoja na michango mingine ya muhimu kwenye tasnia za biokemia na jenetiki.

Doudna ni mmoja wa wanawake wa kwanza kupokea tuzo ya Nobel katika sayansi. Alipokea Tuzo ya Nobel katika Kemia mwaka 2020 pamoja na Emmanuelle Charpentier "kwa ajili ya kutafiti mbinu ya uhariri wa jenomu."

Doudna ni professa wa chansela ya Li Ka Shing katika idara ya kemia na idara ya biolojia ya molekuli na seli katika Chuo Kikuu cha California, Berkeley. Pia amekuwa Mtafiti katika Taasisi ya Matibabu ya Howard Hughes tangu mwaka 1997.

Tanbihi

Tags:

1964BiokemiaFebruari 19JenetikiMarekaniMwanakemia

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Benjamin MkapaUlumbiNguruwe-kayaMilanoOrodha ya nchi za AfrikaSteven KanumbaHistoria ya IranHistoria ya Kanisa KatolikiTiktokNathariSamakiMungu ibariki AfrikaOrodha ya Marais wa ZanzibarWanyakyusaUkoloniVivumishi vya pekeeHaitiUturukiUnyenyekevuJinaTungo sentensiFamiliaMamba (mnyama)Kamusi ya Kiswahili sanifuMbeya (mji)FutiJacob StephenOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaLughaBahari ya HindiHadhiraUongoziKhadija KopaDivaiHafidh AmeirTovutiJokofuMjombaMbadili jinsiaViunganishiTupac ShakurMlongeNetiboliMwanzoSinagogiMtaalaTabataPemba (kisiwa)AbrahamuUzazi wa mpango kwa njia asiliaKonsonantiBruneiDamuMkoa wa RukwaPijini na krioliAli KibaVitamini CMilango ya fahamuKitenzi kishirikishiNusuirabuBenderaUlayaMohamed HusseinImaniMuungano wa Tanganyika na ZanzibarWilaya za TanzaniaWilaya ya TemekeHoma ya mafuaKiunguliaOrodha ya milima mirefu dunianiBurundiMkoa wa SingidaSaratani ya mlango wa kizazi🡆 More