Gharama

Gharama ni thamani ya pesa ambayo imetumiwa ili kupata kitu au kutoa huduma, na hivyo haipatikani kwa matumizi tena.

Gharama
Kitabu cha mahesabu ya mwaka 1828.

Katika biashara, gharama inaweza kuwa ile ya ununuzi: katika kesi hiyo kiasi cha fedha kilichotumiwa kupata kitu huhesabiwa kama gharama. Katika kesi hii, pesa ni pembejeo ambayo imekwenda ili kupata kitu.

Gharama ya upatikanaji inaweza kuwa jumla ya gharama za uzalishaji kama inavyotokana na mtayarishaji wa awali, na gharama zaidi za manunuzi ya malighafi.

Kwa kawaida bei ya kuuzia inalenga faida juu ya gharama za uzalishaji.

Marejeo

  • William Baumol (1968), Entrepreneurship in Economic Theory. American Economic Review, Papers and Proceedings.
  • Stephen Ison and Stuart Wall (2007), Economics, 4th Edition, Harlow, England; New York: FT Prentice Hall.
  • Israel Kirzner (1979), Perception, Opportunity and Profit, Chicago: University of Chicago Press.

Viungo vya nje

Gharama 
Wiki Commons ina media kuhusu:
Gharama  Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gharama kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

HudumaKituPesaThamani

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

MbagalaKibu DenisMkoa wa KataviLigi ya Mabingwa AfrikaOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaInshaMazingiraOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaMeridianiAdhuhuriFonolojiaUbunifuKiarabuWhatsAppAkiliAfrika Mashariki 1800-1845JangwaOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaZama za MaweMadhara ya kuvuta sigaraMalariaHistoria ya AfrikaWilaya ya ArushaZuhuraTafsidaVita Kuu ya Pili ya DuniaKidole cha kati cha kandoOrodha ya viwanja vya michezo TanzaniaSimbaOrodha ya Marais wa KenyaMisimu (lugha)Msokoto wa watoto wachangaMalengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifaFonimuShambaWaziri Mkuu wa TanzaniaHistoria ya uandishi wa QuraniEe Mungu Nguvu YetuTabiaLuhaga Joelson MpinaMkopo (fedha)Jamhuri ya Watu wa ZanzibarJeshi la Ulinzi la Wananchi wa TanzaniaMivighaSimba (kundinyota)Mickey MouseUfugajiMagomeni (Dar es Salaam)MazungumzoStafeliNandyDhima ya fasihi katika maishaWilaya ya IlalaMnyamaMbwana SamattaMamba (mnyama)NdoaNyegeMbweni, KinondoniMaadiliMkoa wa MwanzaNamba za simu TanzaniaKitenziMrijaDiamond PlatnumzVivumishi vya urejeshiAlama ya barabaraniUkristo nchini TanzaniaMungu ibariki AfrikaIni🡆 More