Florini

Florini ni dutu sahili na halojeni simetali. Namba atomia yake ni 9. Katika mazingira yetu kawaida iko katika hali ya gesi yenye rangi njanokijani. Alama yake ya kikemia ni F.

Florini
Florini
Jina la Elementi Florini
Alama F
Namba atomia 96
Uzani atomia 18,9984 u
Valensi 2, 7
Ugumu (Mohs) {{{ugumu}}}
Kiwango cha kuyeyuka 53,53 K (−219,62 °C)
Kiwango cha kuchemka 85,03 K (−188,12 °C)

Kwa kawaida hupatikana kama molekuli ya F2. Kati ya elementi zote mmenyuko wake wa oksidisho ni kali sana. Tabia hii inasababisha Florini kuwa sumu kali. Inamenyuka vikali na karibu elementi zote.

Florini Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Florini kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

MuhammadNevaFasihiMnururishoAlomofuNyegeVieleziMunguHadithi za Mtume MuhammadDini asilia za KiafrikaIsimuFigoMamba (mnyama)Mitume wa YesuMahindiMkoa wa SimiyuMsamiatiTarakilishiShukuru KawambwaAzimio la ArushaMpira wa miguuFananiMzeituniTendo la ndoaMkoa wa DodomaMahakamaWayback MachineKabilaMkoa wa MaraVivumishi vya -a unganifuAUkristo barani AfrikaNuktambiliHali ya hewaMaishaNgono zembeMfuko wa Mawasiliano kwa WoteTungoUlimwenguWilaya za TanzaniaMivighaVita Kuu ya Pili ya DuniaKalenda ya KiislamuMbeya (mji)KariakooPombeNafsiJamhuri ya Watu wa ChinaUtumwaUjerumaniSiafuDuniaMsokoto wa watoto wachangaUmoja wa MataifaTanganyika (ziwa)GeorDavieLigi Kuu Tanzania BaraRose MhandoJumuiya ya MadolaAnwaniChuo Kikuu cha Dar es SalaamMazungumzoUkristo nchini TanzaniaRadiMapambano ya uhuru TanganyikaWanyakyusaAdolf HitlerBarua rasmiMagonjwa ya kukuRayvannyOrodha ya kampuni za TanzaniaMashuke (kundinyota)Pesa🡆 More