Diego Velázquez

Diego Velázquez (Juni 1599 - 6 Agosti 1660) alikuwa mchoraji mashuhuri wa Hispania wakati wa karne ya 17.

Diego Velázquez
Velasquez alivyojichora mwenyewe mnamo 1630

Alikuwa mchoraji aliyependwa na mfalme Filipo IV wa Hispania akachora watu wengi wa familia ya mfalme na waungwana waliokaa kwenye jumba la kifalme. Mweyewe alioa akazaa mabinti wawili.

Alisafiri pia hadi Italia alikopokea athira mbalimbali kwa kazi yake.

Mifano ya taswira zake

Diego Velázquez 
WikiMedia Commons
Wiki Commons ina media kuhusu:


Diego Velázquez  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Diego Velázquez kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

159916606 AgostiKarne ya 17

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Vidonda vya tumboMfumo wa mzunguko wa damuNg'ombeNyukiVitenzi vishirikishi vikamilifuTungo kishaziKanga (ndege)Vasco da GamaUtamaduniUsanifu wa ndaniKifua kikuuTarafaHadithi za Mtume MuhammadKunguruVita Kuu ya Kwanza ya DuniaDhamiraKata za Mkoa wa MorogoroSodomaPichaMawasilianoHektariKiongozivvjndMatiniRejistaLugha ya taifaOrodha ya Marais wa MarekaniKiumbehaiUingerezaSaida KaroliWilaya ya KinondoniMpira wa mkonoJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoTungo kiraiJumuiya ya MadolaMaumivu ya kiunoMagharibiShengUbadilishaji msimboYesuSumakuMahakamaMisimu (lugha)Orodha ya miji ya TanzaniaNguzo tano za UislamuKiambishiWilayaLigi Kuu Uingereza (EPL)BahashaMohamed HusseinBaraBruneiNuktambiliBenjamin MkapaLuhaga Joelson MpinaShikamooShukuru KawambwaNamba za simu TanzaniaKalenda ya KiislamuNdovuUtumwaLady Jay DeeHistoria ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoBunge la TanzaniaSaidi NtibazonkizaZuchuHifadhi ya SerengetiMikoa ya TanzaniaKataAla ya muzikiMapenziTawahudiMwenge wa UhuruViwakilishi vya urejeshiNgamiaSayansi ya jamiiAfrika Kusini🡆 More