Benki Kuu ya Kenya iko katika mji wa Nairobi.
Gavana wa sasa wa benki ni Daktari Patrick Njoroge ambaye alianza kazi mwaka wa 2015. Dr. Njoroge ametekeleza mabadiliko katika Benki Kuu, pamoja na kuimarisha sekta ya uchumi nchini. Jina la benki kwa ufupi ni "CBK".
Benki Kuu ya Kenya ilianzishwa mwaka 1966 baada ya kufutwa kwa East Africa Currency Board (EACB).
Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Benki Kuu ya Kenya kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Benki Kuu ya Kenya, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.