Arbeiderpartiet

Arbeiderpartiet (Ap; Chama cha Wafanyakazi), jina kamili Det norske Arbeiderparti (Chama cha Wafanyakazi Norwei), ni chama kikubwa cha kisiasa nchini Norwei.

Kimeanzishwa huko mjini Arendal mwaka 1887 ili kuandaa wafanyakazi na kupigania jamii sawa ya ujamaa. Tangu Vita Kuu ya Pili ya Dunia Arbeiderpartiet kimekuwa chama kikubwa nchini Norwei.

Arbeiderpartiet
Jens Stoltenberg anayekuwa Waziri Mkuu wa Norwei anahutubu kwa wafanyakazi hapo 1 Mei 2009.

Jens Stoltenberg (anayekuwa Wazairi Mkuu wa Norwei) amekuwa mkuu wa Arbeiderpartiet tangu mwaka wa 2002. Arbeiderpartiet kimeanzisha serikali pamoja na Sosialistisk Venstreparti na Senterpartiet (Stoltenberg II).

Viungo vya nje

Tags:

1887NorweiUjamaaVita Kuu ya Pili ya Dunia

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Bahari ya HindiDaktariAfrika ya MasharikiKuchaMpira wa miguuUvimbe wa koromeo usababishwao na streptokokiMartin LutherFalsafaHoma ya matumboKenyaUsultani wa ZanzibarMajira ya baridiKadhiHifadhi ya mazingiraLondonMaeneo ya Kihistoria ya Kitaifa ya TanzaniaLionel MessiAbedi Amani KarumeSomo la UchumiMgawanyo wa AfrikaMwanaumeVipaji vya Roho MtakatifuNominoTanganyika African National UnionVieleziOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaVirusi vya UKIMWIFasihi ya KiafrikaMkoa wa KigomaMaradhi ya zinaaBungeBibliaTanganyika (maana)MwislamuDar es SalaamRose MhandoMarekaniViwakilishi vya pekeeAlasiriTreniJumuiya ya Afrika MasharikiKamusiShinaMitume wa YesuDolar ya MarekaniWairaqwKunguruKaterina wa SienaTafsidaUchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2020BabeliHistoria ya KanisaTarakilishiHarmonizePapa (samaki)Mtandao wa kompyutaNgano (hadithi)NzigeOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaSisimiziSalaUwanja wa Taifa (Tanzania)HerufiAsili ya KiswahiliDhanaMichezo ya jukwaaniWahaShukuru KawambwaHistoria ya KiswahiliUturukiOrodha ya Marais wa BurundiPumuWakinga🡆 More