Agileus

Agileus (alifariki Karthago, leo nchini Tunisia, 300 hivi) alikuwa Mkristo aliyeuawa kwa ajili ya imani yake wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian.

Augustino wa Hippo alitoa hotuba moja juu yake.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Januari.

Tazama pia

Tanbihi

Agileus  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.

Tags:

300DhulumaDiokletianImaniKaisariKarthagoMkristoTunisia

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

ElimuShirika la Utangazaji TanzaniaMazingiraNapoleon BonaparteNeemaPasifikiHassan bin OmariNdoaKifo cha YesuOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaTabataMauaji ya kimbari ya RwandaKunguruRayvannyMkataba wa Helgoland-ZanzibarMbooMapigo yasiyo ya kawaida ya moyoUtoaji mimbaWanyama wa nyumbaniOrodha ya Marais wa BurundiUfufuko wa YesuMadiniUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMapenziMashariki ya KatiBungeWasafwaUtegemezi wa dawa za kulevyaKifua kikuuNg'ombeHistoria ya KiswahiliAnna MakindaSalaJustin BieberWiktionarySheriaViunganishiHistoria ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoUnyevuangaMtende (mti)Vivumishi vya -a unganifuTarehe za maisha ya YesuMongoliaKuraniRamaniVivumishi vya kumilikiUjasiriamaliWabena (Tanzania)ZuchuTaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya TanzaniaSaidi NtibazonkizaNuru InyangeteHistoria ya TanzaniaKrismasiMaambukizi nyemeleziMakkaVieleziSkautiKisaweMajira ya mvuaMalariaMkoa wa MtwaraJay MelodyOrodha ya viwanja vya ndege nchini TanzaniaChakulaKiunguliaUchimbaji wa madini nchini TanzaniaDhamiriMwanamkeMungu ibariki Afrika🡆 More