Adrian Atiman

Adrian Atiman (Tindirma, Sudan ya Kifaransa, leo Mali, 1866 hivi - Karema, mkoa wa Katavi, 24 Aprili 1956) alikuwa katekista na daktari wa Kiafrika mmisionari nchini Tanzania.

Maisha

Msonghai, alikombolewa na Wamisionari wa Afrika kutoka utumwa huko Metlili, kusini mwa Algeria.

Baada ya kusomeshwa hadi Ulaya aliishi na kufanya kazi katika misheni ya Karema kuanzia mwaka 1889 hadi kifo chake akiheshimiwa na wote kwa huduma zake zilizomfikisha hata vijiji vya mbali.

Aliacha mke na mtoto mmoja, padri Joseph, pamoja na masimulizi ya maisha yake.

Tanbihi

Marejeo kwa Kiswahili

  • George Pelz, "Katekista na daktari Adrian Atiman"
Adrian Atiman  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.

Tags:

1866195624 ApriliAfrikaDaktariKaremaKatekistaMaliMkoa wa KataviMmisionariTanzania

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Kombe la Mataifa ya AfrikaUmaskiniIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)SikukuuMkoa wa TangaKunguruAfrika ya MasharikiWasukumaOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaKanisa la Kiinjili la Kilutheri TanzaniaTungo kishaziTunu PindaSteven KanumbaMotoDumaAshokaSaharaWema SepetuTreniMzabibuMkoa wa KigomaJamhuri ya Watu wa ChinaInshaHistoria ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoNyweleKuhaniOrodha ya makabila ya TanzaniaJipuUgonjwa wa kupoozaTausiHaki za watotoMlongeKaramu ya mwishoVieleziHoma ya iniOrodha ya programu za simu za WikipediaVivumishiHistoria ya Afrika2 AgostiUfahamuTabainiNzigeKukuUbakajiUbatizoDhahabuTiba asilia ya homoniChakulaUoto wa Asili (Tanzania)SimbaAina za manenoUnju bin UnuqWaluguruSemantikiUjamaaVichekeshoWhatsAppKitabu cha ZaburiHoma ya dengiNahauViwakilishi vya urejeshiBustani ya EdeniDamuThe MizNuru InyangeteKumaMkoa wa ManyaraAsiaShengXXHassan bin OmariKisimaKaabaKisawe🡆 More