Surat ni mji wa Jimbo la Gujarat nchini Uhindi.
Uko kwenye kingo za mto Tapti, karibu na mdomo wake katika Bahari Hindi. Hivyo ilikuwa bandari muhimu lakini siku hizi maji yake hayana kina cha kutosha kwa meli kubwa. Ni jiji lenye wakazi milioni 4.5 lenyewe, na milioni 6 katika rundiko la mji. Ni mji mkubwa wa nane nchini Uhindi.
Nchi | Uhindi |
Jimbo / Mkoa | Gujarat |
Anwani ya kijiografia | 21°10′12.864″N 72°49′51.819″E / 21.17024000°N 72.83106083°E |
Kimo | mita 13 |
Eneo | km2 326.515 |
Wakazi | 4,467,797 |
Msongamano wa watu | 14,000/km2 |
Simu | 91-261-XXX-XXXX |
Tovuti rasmi | www.suratmunicipal.gov.in |
Surat travel guide kutoka Wikisafiri
Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Surat kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Surat, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.