Mchana

Mchana ni kipindi chote cha siku ambapo nuru ya jua inaangaza sehemu fulani ya dunia.

Mchana
Picha iliyotengenezwa kwa tarakilishi ili kuonyesha jinsi jua linavyoonekana kusogea, pamoja na matokeo yake kwa mandhari.

Kinyume chake ni usiku.

Kwa wakati mmoja, jua linaangaza karibu nusu ya dunia. Huko ni mchana, kumbe katika nusu ya pili ni usiku.

Kwa binadamu na wanyama wengi ndio wakati wa utendaji mwingi zaidi.

Alfajiri huko Taritari, Nueva Esparta, Venezuela Vipindi vya siku Kutwa huko Knysna, Afrika Kusini

UsikuUsiku katiUsiku wa mananeAlfajiriPambazukoAsubuhiAdhuhuriMchanaAlasiriJioniMachweo

Tags:

Nuru

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

VitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMzeituniDemokrasiaJacob StephenUgonjwa wa kuharaShinikizo la juu la damuNguruweKonyagiYoung Africans S.C.UgandaMaumivu ya kiunoLughaHistoriaKoroshoUharibifu wa mazingiraBarua rasmiLatitudoLahajaKitenziNikki wa PiliStephane Aziz KiMkopo (fedha)EthiopiaMaradhi ya zinaaKata za Mkoa wa MorogoroKiolwa cha anganiMlongeTawahudiHaitiFamiliaMkunduSikioMaana ya maishaBiashara ya watumwaMkoa wa KageraWapareMaajabu ya duniaMtakatifu MarkoMapambano ya uhuru TanganyikaVita ya Maji MajiMnyoo-matumbo MkubwaWakingaUislamuInsha za hojaMwaniEdward SokoineMitume wa YesuIsraelDiglosiaTungoJumuiya ya MadolaDamuPasakaWilaya ya IlalaEe Mungu Nguvu YetuKoloniVitenzi vishiriki vipungufuAlizetiKinyongaMr. BlueRuge MutahabaUwanja wa Taifa (Tanzania)VieleziAsili ya KiswahiliKiazi cha kizunguMtandao wa kompyutaMadawa ya kulevyaUhuru wa TanganyikaPijini na krioliTungo kishaziVivumishiKongoshoKimeng'enyaMishipa ya damuMashariki🡆 More