Kurów ni kijiji katika Poland ya Kusini-Mashariki kwenye mto wa Kurowka.
Iko katikati ya miji ya Pulawy na Lublin katika wilaya ya Lublin. Ina wakazi 2811 (2005).
Katika karne ya 15 BK kijiji kilipewa cheo cha mji chini ya sheria ya mji ya Magdeburg. Katika karne ya 16 BK ikawa kati ya miji ya Poland iliyopokea Uprotestanti.
Wakati wa migawanyiko ya Poland ikawa mwanzoni chini ya Austria, baadaye chini ya Urusi. Tangu 1918 imekuwa tena sehemu ya dola la Poland iliyoanzishwa upya.
Wojciech Jaruzelski aliyekuwa kwanza waziri mkuu, halafu rais wa Poland kati ya 1981 hadi 1990 alizaliwa Kurow.
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kurów kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Kurów, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.