Boeing ni kampuni nchini Marekani ya kutengeneza eropleni, helikopta, roketi na vifaa vingine kwa matumizi ya kiraia na ya kijeshi kwa usafiri wa hewani na kwenye anga-nje.
Ni kampuni kubwa duniani ya aina hii; katika utengenezaji wa ndege za abiria pekee ina nafasi ya pili baada ya Airbus ya Ulaya.
Makao makuu ya kampuni yalikuwepo Seattle, Washington lakini tangu 2001 yalihamishwa kwenda Chicago.
Modeli za Boeing zinazojulikana sana ni pamoja na
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Boeing, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.