Azam One

Azam One ni kituo cha matangazo ya televisheni kinachorusha matangazo yake katika nchi za Afrika mashariki.

Kituo hiki cha televisheni kinamilikiwa na kampuni ya Azam Media Group ambayo ni mali ya mfanyabiashara tajiri wa nchini Tanzania aitwaye Said Salim Bakhresa.

Kampuni hiyo inamiliki king'amuzi cha Azam, pia inamiliki kituo kingine cha matangazo ya televisheni kiitwacho Azam Two. Pia ina vituo vingine kama vile Sinema zetu, Azam Sports HD na Azam sports HD 2.

Azam One Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Azam One kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Afrika masharikiAzam Media GroupKampuniMaliMfanyabiasharaNchiTajiriTanzaniaTelevisheni

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

BrazilMafuta ya wakatekumeniKombe la Mataifa ya AfrikaItifakiUgonjwa wa kupoozaMkoa wa LindiGesi asiliaAsili ya KiswahiliMkoa wa RukwaLahajaTaswira katika fasihiUNICEFBendera ya KenyaOrodha ya nchi kufuatana na wakaziHedhiPasaka ya KiyahudiLatitudoUnyevuangaJuma kuuYoweri Kaguta MuseveniNetiboliSikukuuKadi za mialikoShetaniInsha ya wasifuBendera ya TanzaniaDar es SalaamBustani ya EdeniKuhaniMbuniTanganyikaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaBurundiChuo Kikuu cha Dar es SalaamMungu ibariki AfrikaMivighaKitenzi kishirikishiJumapili ya matawiAlhamisi kuuChatGPTKigoma-UjijiAfrika ya MasharikiMamaMapambano kati ya Israeli na PalestinaWenguOrodha ya Watakatifu wa AfrikaNamba ya mnyamaKifua kikuuOrodha ya vitabu vya BibliaUbaleheTabataAngahewaRihannaNominoKaswendeUchawiDiniMkoa wa MbeyaWajitaMasharikiTanzaniaTausiKutoka (Biblia)Benjamin MkapaUbatizoMadinaNileViwanja vya Afrika (Kwa Ukubwa)Msitu wa AmazonHifadhi ya SerengetiUvimbe wa koromeo usababishwao na streptokokiRose MhandoMaumivu ya kiunoOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaRitifaaTaasisi ya Taaluma za Kiswahili🡆 More