William Denby Bill Hanna (14 Julai 1910 – 22 Machi 2001) alikuwa mwundaji wa vikatuni, mwongozaji, mtaarishaji, na mwanzilishi-mshirilki, pamoja na Joseph Barbera, wa Hanna-Barbera studio kutoka nchini Marekani.
Studio ya Hanna-Barbera imaetaarisha katuni nyingi tu maarufu, ikiwemo ile ya The Huckleberry Hound Show, The Flintstones, The Jetsons, Scooby-Doo vile vile muziki wa filamu, Charlotte's Web.
William Hanna | |
---|---|
| |
Jina la kuzaliwa | William Denby "Bill" Hanna |
Alizaliwa | 14 Julai 1910 |
Alikufa | 22 Machi 2001 |
Nchi | Marekani |
Kazi yake | Mwanakatuni Mtaarishaji Mwongozaji |
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani wa Marekani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu William Hanna kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article William Hanna, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.