Sherif Ismail: Waziri mkuu wa misri

Sherif Ismail Mohamed (matamshi ya Kiarabu:  ; 6 Julai 1955 — 4 Februari 2023) alikuwa mhandisi wa Misri ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa Misri kati ya miaka 2015 na 2018.

Hapo awali alikuwa waziri wa petroli na rasilimali za madini kutoka 2013 hadi 2015.

Kazi

Ismail alisomea uhandisi wa mitambo katika Chuo Kikuu cha Ain Shams na kuhitimu mwaka 1978. Alihudumu nyadhifa za usimamizi kwenye makampuni ya serikali ya petrochemical na gesi asilia. Alihudumu kama naibu mwenyekiti mtendaji na kisha mwenyekiti wa kampuni inayomilikiwa na Misri ya kemikali za petroli (ECHEM), ambayo ilianzishwa mnamo 2002. Baadaye aliteuliwa kuwa mwenyekiti wa Kampuni Hodhi ya Gesi Asilia ya Misri (EGAS).

Viungo vya nje

Media related to Sherif Ismail at Wiki Commons

Ofisi za Kisiasa
Alitanguliwa na
Ibrahim Mahlab
Waziri mkuu wa Misri
2015–2018
Akafuatiwa na
Moustafa Madbouly

Marejeo

Sherif Ismail: Waziri mkuu wa misri  Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sherif Ismail kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

195520132015201820234 Februari6 JulaiKiarabuMatamshiMhandisiMisriWaziriWaziri mkuu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

FalsafaMkoa wa MwanzaUenezi wa KiswahiliOrodha ya kampuni za TanzaniaOrodha ya vitabu vya BibliaLahaja za KiswahiliMkoa wa ArushaWahayaMbeguAdolf HitlerKumaAgano la KaleChakulaJumuiya ya Afrika MasharikiHadithi za Mtume MuhammadHaikuKamusi ya Kiswahili sanifuMnyamaKinembe (anatomia)Kutoka (Biblia)JiniWayao (Tanzania)NdovuTabataBabeliJakaya KikweteKata za Mkoa wa Dar es SalaamLahajaVichekeshoShikamooUsultani wa ZanzibarNgonjeraOsimosisiMjasiriamaliMbuUyahudiTajikistanTashdidiMkoa wa KigomaHistoria ya KanisaLigi ya Mabingwa AfrikaSimbaWallah bin WallahShinikizo la juu la damuNembo ya TanzaniaShomari KapombeUsiku wa PasakaMivighaMuungano wa Tanganyika na ZanzibarAlasiriMafuta ya wakatekumeniNabii IsayaMkoa wa Dar es SalaamAsiaMsengeWairaqwMariooKitenzi kikuuTmk WanaumeLuis MiquissoneMohamed HusseinHassan bin OmariWilaya za TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845MapenziDawa za mfadhaikoKuraniLeopold II wa UbelgijiShinaGhanaKilwa KivinjeLatitudoKifua kikuuSisimiziOrodha ya Watakatifu Wakristo🡆 More