Nusukipenyo Ya Jua

Nusukipenyo ya Jua (ing.

solar radius) ni nusu ya kipenyo cha Jua letu na hivyo sawa na umbali wa kilomita 696.342 au mara 109 nusukipenyo cha Dunia.

Umbali huu hutumiwa kama kizio katika sayansi ya astronomia kwa kutaja ukubwa wa magimba kwenye anga-nje hasa nyota.

Mfano wa matumizi yake ni mfumo wa Dunia na Mwezi: umbali kati ya Dunia na Mwezi ni takriban kilomita 384.400 au asilimia 55 za nusukipenyo ya Jua. Kama Jua lingechukua nafasi ya Dunia njia ya obiti ya Mwezi ingekuwa ndani ya Jua lenyewe.

Kipenyo na nusukipenyo ya Jua hubadilika kidogo kufuatana na sehemu ya kukipima kwa sababu Jua si tufe kamili. Kwa sababu hiyo kuna ufafanuzi wa Umoja wa Kimataifa wa Astronomia wa kuhesabu nusukipenyo ya Jua kuwa na mita 6.957×108 au kilomita 695.700 .

Alama yake ni R ambapo "R" inamaanisha "radius" na ☉ ni ishara ya Jua.

Marejeo

Tags:

JuaKipenyoNusukipenyoen:solar radius

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

HaitiMichael JacksonDesturiVivumishiHistoria ya KiswahiliArudhiMkoa wa MwanzaUfeministiOrodha ya milima mirefu dunianiSerikaliMbuga wa safariGeorDavieFrederick SumayeWimbisautiPamboUlayaMaliasiliStadi za maishaAbedi Amani KarumeUzazi wa mpangoChuiInsha ya wasifuSimba S.C.KichochoHoma ya iniJumuiya ya MadolaMfumo wa JuaJohn MagufuliPonografiaNahauJamhuri ya Watu wa ZanzibarLeonard MbotelaC++HistoriaMalipoTume ya Taifa ya UchaguziWahayaOrodha ya Marais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoNge (kundinyota)UfahamuTungo sentensiChristopher MtikilaHistoria ya Kanisa KatolikiMdalasiniMkoa wa PwaniHerufiFranco Luambo MakiadiBarua rasmiMitume na Manabii katika UislamuSikioHistoria ya UislamuCAFKifua kikuuRaiaVipera vya semiNdoo (kundinyota)Msitu wa AmazonMbooMunguVieleziOrodha ya miji ya TanzaniaMaigizoDini asilia za KiafrikaMkoa wa TaboraMivighaNadhariaDaudi (Biblia)Fasihi andishiHaki za wanyamaKubaNguruwe-kayaUharibifu wa mazingiraFasihi simuliziMisriNomino za pekeeDolar ya Marekani🡆 More